Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida
(Hospitali ya Mkoa)

Kliniki zinazofanyika Idara ya Wagonjwa wa Nje (OPD)

Posted on: December 3rd, 2023

Hii inahisisha kliniki za aina mbili;

  1. Kliniki maalumu za magonjwa ya ngozi, magonjwa ya sukari, magonjwa ya akili, na magonjwa ya ndani.
  2. Kliniki za magonjwa mchanganyiko (ya kawaida)
  • Kliniki za magonjwa ya ngozi na magonjwa ya akili hufanyika kila siku ya wiki isipokua sikuza wikiendi.
  • Kliniki ya magonwa ya ndani hufanyiki kila siku ya Jumatano.
  • Kliniki ya magonjwa mchanganyiko hufanyika saa 24 siku saba za wiki.
  • kliniki ya magonjwa ya Sukari hufanyika kama inavyoonekana kwenye ratiba hapa chini;


RATIBA YA KLINIKI YA MAGONJWA YA SUKARI

SIKU HUDUMA
JUMATATU KLINIKI YA KISUKARI KWA WATU WAZIMA
JUMANNE KLINIKI YA KISUKARI KWA WATOTO
ALHAMISI KLINIKI YA KISUKARI KWA WATU WAZIMA